Dullonet Job,Career and Latest Scholarship

Tuesday, October 6, 2009

Pinda atembelea Banda la Tanzania Geneva

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, akipiga simu wakati Mkurugenzi wa Tanzania Youth Alliance (TAYOA), Peter Masika (kulia) akimweleza kuhusu mawasiliano ya elimu ya ugonjwa wa ukimwi kwa njia ya simu yanavyofanywa na taasisi hiyo. Pinda alitembelea banda la taasisi hiyo kwenye maonesho yanayokwenda sambamba na Mkutano Mkuu wa Shirika la Mawasiliano la kimataifa (ITU) mjini Geneva, Uswisi. Kulia kwake ni Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Profesa John Nkoma. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

0 comments:

Post a Comment

  © Dullonet template by Dullonet.com 2009

Back to TOP