Dullonet Job,Career and Latest Scholarship

Monday, August 31, 2009

Ajira ya CloudsTV, watu kibao


mtangazaji wa Clouds 88.4 Zamaradi akiwa hoi bin taaban kwa kazi za kufanyia intavyuu mamia ya vijana waliojitokeza kuwania nafasi moja ya atakayekuwa mtangazaji nambari moja wa kituo kipya ya CloudsTV kinachotarajia kuanza kazi karibuni.




zamaradi akiongea na vijana kwenye foleni ya mwisho ya intavyuu. foleni zilikuwa tatu. ya kwanza kupatiwa namba. ya pili kusajili jina na wasifu, ya tatu ni hii



crew wa CloudsTV




vijana wakijiandikisha kabla ya intavyuu

0 comments:

Post a Comment

  © Dullonet template by Dullonet.com 2009

Back to TOP