Dullonet Job,Career and Latest Scholarship

Friday, August 7, 2009

Ajali ya Basi Singida

Mmoja wa majeruhi katika ajali ya basi la Jordan lenye namba T.562 AAMwa ajali hiyo, Mary Shalue (28) mkazi wa wilaya ya Iramba akimnyonyesha mtoto wake baada ya kupatiwa huduma ya kwanza katika hospitali ya mkoa Singida kabla ya uchunguzi zaidi jana. watu kumi walikufa papo hapo na wengine 35 kujeruhiwa.

Majeruhi akipelekwa wodini

0 comments:

Post a Comment

  © Dullonet template by Dullonet.com 2009

Back to TOP