Dullonet Job,Career and Latest Scholarship

Thursday, August 27, 2009

JK amzika Askofu Mayala

wakuu wakiagana baada ya kumaliza shughuli ya mazishi. Ni Rais Mstaafu Benjamin Mkapa na Rais Jakaya Kikwete.


Maaskofu wakiomboleza.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mama Salma wakitoa heshima za mwisho kwa aliyekuwa Askofu Mkuu Jimbo Katoliki la Mwanza Marehemu Mhashamu Antony Mayala wakati wa ibada ya Mazishi iliyofanyika nyumbani kwake eneo la Kawekamo,Mwanza na baadaye kuzikwa katika kanisa kuu la Epifania mjini Mwanza.


0 comments:

Post a Comment

  © Dullonet template by Dullonet.com 2009

Back to TOP