Dullonet Job,Career and Latest Scholarship

Monday, August 31, 2009

Shein ndani ya Geneva

Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akizungumza na Gavana mkuu wa Geneva David Hiler katika chumba maalum cha kupumzikia wageni alipowasili katika uwanja wa ndege wa Kimataifa mjini Geneva leo kwa ajili ya kuhudhuria Mkutano mkuu wa tatu wa kimataifa wa Mabadiliko ya hali ya hewa Duniani unaotarajiwa kuanza kesho mjini Geneva. Katikati Mama Mwanamwema Shein

0 comments:

Post a Comment

  © Dullonet template by Dullonet.com 2009

Back to TOP