Dullonet Job,Career and Latest Scholarship

Thursday, August 20, 2009

Tamasha la michezo ya Jadi

Mwenyekiti wa chama cha michezo ya jadi Tanzania Bw. Mohamed Kazingumbe akionyesha tuzo ya heshima ambayo chama hicho kilitunukiwa wakati kiliposhiriki katika tamasha la michezo ya jadi lililofanyika nchini Korea mwaka jana Tanzania ni nchi pekee iliyopata tuzo hiyo kati ya nci 30 zilizoshiriki katikatamasha hilo kutoka Africa, Mzee Mohamed ameonyesha tuzo hiyo wakati alipoongea na wanahabari kwenye ukumbi wa Idara ya Habari Maelezo leo wakati akielezea maandalizi ya michezo ya jadi ianayotarajiwa kufanyika mwezi wa kumi mwishoni ama mwezi wa kumina moja mwanzoni mwaka huu jijini Dar es alaam.

0 comments:

Post a Comment

  © Dullonet template by Dullonet.com 2009

Back to TOP