Dullonet Job,Career and Latest Scholarship

Thursday, August 13, 2009

Vodacom yamwaga vifaa Ligi Kuu Bara

Naibu waziri wa habari na michezo mh. joel bendera (shoto) akikabidhi hundi kwa katibu mkuu wa tff frederick mwakalebela ambazo zitasaidia kuendesha ligi kuu ya vodacom inayoanza hivi karibuni kwenye sherehe za kukabidhi fedha na vifaa iliyofanyika hoteli ya giraffe motel jijini dar leo. wengine katika picha ni mama yasoda naibu mkurugenzi wa michezo, bosi wa mssoko wa vodacom ephraim mafuru, na meneja wa udhamini wa vodacom



mh. bendera akikabidhi kifaa cha kubadilishia wachezaji kwa makalebela
Uzi wa African Lyon

Uzi wa Kagera Sugar



Uzi wa MANYEMAFC




Uzi wa AZAMFC





Uzi wa JKT Ruvu






Uzi wa YANGA







Uzi wa Simba








Uzi wa TOTO AFRICAN









0 comments:

Post a Comment

  © Dullonet template by Dullonet.com 2009

Back to TOP