Dullonet Job,Career and Latest Scholarship

Friday, August 7, 2009

TriangleTanzania na matumizi ya Gesi katika magari

Kituo cha Kuuzia Gesi kwaajili ya matumizi ya magari cha PanaAfrican Enegy ambacho kinaendesha kwa ushirikiano na Shirika la Maendeleo ya Mafuta Tanzania (TPDC).

Mtaalam Luca Monrado,(wa pili kulia) kutoka Itali akiunganisha gesi katika gari na kutumika kuwa nishati ya kuendeshea badala ya mafuta, kulia ni mtafiti muandamizi wa Shirika la Petrol Tanzania,Cherles Sangweni,katikati ni Mwenyekiti wa TriangleTanzania, Ramadhani Ng'humbi, pamoja na mafundi.

0 comments:

Post a Comment

  © Dullonet template by Dullonet.com 2009

Back to TOP