Dullonet Job,Career and Latest Scholarship

Monday, August 31, 2009


Rais Jakaya Kikwete akiagana na mmoja wa watawa wa Kanisa Katoliki mara baada ya kumalizika kwa futari ambayo aliwaandalia viongozi wa dini na madhehebu mbalimbali, Ikulu, Dar es Salaam juzi.

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiagana na Askofu Msaidizi wa Jimbo Kuu la Kanisa Katoliki la Dar Es Salaam, Mhashamu Method Kilaini, mara baada ya kumalizika kwa shughuli ya futari ambayo Rais Kikwete aliwaandalia viongozi wa dini na madhehebu mbali mbali nchini juzi, Jumamosi, Ikulu, Dar Es Salaam.

0 comments:

Post a Comment

  © Dullonet template by Dullonet.com 2009

Back to TOP