Dullonet Job,Career and Latest Scholarship

Thursday, August 27, 2009

mama kikwete azindua kampeni ya vodacom foundation ya mwezi mtukufu wa ramadhani


Mama Salma kikwete akiwasili kwenye eneo la tukio jana mjini Bagamoyo tayari kuzindua kampeni ya Vodacom Foundation ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani ambapo pamoja na kufuturisha sehemu mbalimbali nchini misaada kibao hutolewa


Mama Salma Kikwete akiwakabidhi vyakula watoto yatima ambao wanaishi katika mazingira magumu msaada huo ulitolewa na Vodacom Foundation katika kampeni yao ya mwezi mtukufu wa Ramadhani,(katikati)Mkuu wa Vodacom Foundation Mwamvita Makamba(kulia)Mkurugenzi mtendaji wa Vodacom Tanzania Dietlof Mare,Wilayani Bagamoyo jana

Mbunge wa Viti Maalum Mh. Kweigr akiongea na Mkurugenzi mtendaji wa Vodacom Tanzania Dietlof Mare na Mkuu wa Vodacom Foundation Mwamvita Makamba huko Bagamoyo jana




baadhi ya wanafunzi wa madras katika hafla hiyo










Mama Salma Kikwete akimkabidhi vifaa vya charahani Mwenyekiti wa kikundi cha kina mama wanaolea watoto yatima Bi.Muridhia Bakari msaada huo ulitolewa na Vodacom Foundation katika kampeni yao ya mwezi mtukufu wa Ramadhani,(katikati)Mkurugenzi mtendaji wa Vodacom Tanzania Dietlof Mare, Mkuu wa Vodacom Foundation Mwamvita Makamba,Wilayani Bagamoyo jana.





0 comments:

Post a Comment

  © Dullonet template by Dullonet.com 2009

Back to TOP