Dullonet Job,Career and Latest Scholarship

Monday, August 31, 2009

BODI YA UKAGUZI WA FILAMU YAZINDULIWA, UONESHAJI HOLELA WA SINEMA SASA MARUFUKU


Waziri wa Habari Utamaduni na Michezo George Mkuchika akizungumza na wafanyakazi wa Wizara ya Habari, Utamaduni na Michezo wakati wa uzinduzi wa Bodi ya Ukaguzi wa Filamu leo jijini Dar es Salaam. Kulia kwake ni Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Utamaduni Pof.Hermas Mwansoko,akifuatiwa na Beneventus Lopa Afisa Mipango na Utawala wa Wizara hiyo na Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO), Bw. Clement Mshana


Waziri wa Habari, Utamaduni na Michezo George Mkuchika akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa Bodi ya Ukaguzi wa Filamu mara baada ya uzinduzi.Kushoto kwake ni Mwenyekiti wa Bodi hiyo Bi. Rose Sayore. Picha na habari na Aron Msigwa- MAELEZO.

0 comments:

Post a Comment

  © Dullonet template by Dullonet.com 2009

Back to TOP