Dullonet Job,Career and Latest Scholarship

Monday, August 31, 2009

Jangili anaswa na nyara

Askari wa wanyama poli katika mbuga ya wanyama ya Wami-Mbiki iliyopo mkoa wa Morogoro na Pwani, Lucas Peter (51) kushoto akitoa minofu ya nyama baada ya jangiri Kaburu Yamungu Moshi kukamatwa na askari hao katika kijiji chaKidudwe wilaya ya Mvomero mkoani Morogoro akidaiwa kuwinda kinyume na sheria. Picha na Juma Mtanda

0 comments:

Post a Comment

  © Dullonet template by Dullonet.com 2009

Back to TOP