Dullonet Job,Career and Latest Scholarship

Monday, August 31, 2009

JK NDANI YA LIBYA

Rais JK akipokewa na waziri wa kilimo na mifugo wa Jamhuri ya Libya Aboubakari Mansoor mara tu baada ya kuiwasili kwenye uwanja wa ndege wa kijeshi jijini Tripoli , rais yuko libya kuhudhuria kikao cha siku moja cha wakuu wa nchi za Afrika kinachofanyika leo 31 .8.09 kuzungumzia masuala ya usalama barani afrika na baadaye kuhudhuria sherehe za miaka 40 ya utawala wa Rais Muammar Gadafi.

0 comments:

Post a Comment

  © Dullonet template by Dullonet.com 2009

Back to TOP