Dullonet Job,Career and Latest Scholarship

Wednesday, September 16, 2009

Ajali ya Treni Dodoma




Lori la kubeba mchanga likiwa limeharibika vibaya baada ya kugongwa na treni ya mizigo katika eneo la Makulu mjini Dodoma jana baada ya lori hilo kukatiza reli sehemu ambayo haina kivuko. Hakuna aliyereruhiwa katika ajali hiyo. Picha na Jube Tranquilino

0 comments:

Post a Comment

  © Dullonet template by Dullonet.com 2009

Back to TOP