Dullonet Job,Career and Latest Scholarship

Wednesday, September 16, 2009

Cassonga wa channel ten asafirishwa kwao kwa maziko


Mkuu wa kikosi cha JKT Burombola, Luteni Kanali Saimon Thomas akiwaongoza waombolezaji kuupakia mwili wa marehemu kwenye gari tayari kwa safari ya kuelekea kijijini Kwao Chereche wilaya ya Rolya mkoani Mara kwa maziko leo.




Mkuu wa Mkoa kigoma,Joseoh simbakalia akitoa heshima kwa mwili wa Mwandishi wa habari Peter Cassonga mjini Kigoma juzi

0 comments:

Post a Comment

  © Dullonet template by Dullonet.com 2009

Back to TOP