Dullonet Job,Career and Latest Scholarship

Friday, September 25, 2009

USAID YAMWAGA VIFAA VYA KUPIMIA KIFUA KIKUU

Katibu mkuu Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Blandina Nyoni akiangalia kifaa cha kupimia ugonjwa ya kifua kikuu (Microscope) iliyokabidhiwa kwake na Elise Jensen (wa kwanza kulia) mwakilishi wa shirika la misaada la Marekani (USAID) huku maofisa wa Wizara na shirika la USAID wakishuhudia, hafla ya makabidhiano hayo imefanyika Wizara ya Afya. Vifaa vilivyotolewa ni pamoja na Microscope 40, Jokofu moja na microscopy slide boxes 1600 vyote vikiwa na thamani ya dola za Kimarekani 109,715 na vitagawanywa katika mikoa yote nchini.

0 comments:

Post a Comment

  © Dullonet template by Dullonet.com 2009

Back to TOP