Dullonet Job,Career and Latest Scholarship

Tuesday, September 29, 2009

JK afungua jengo la ubalozi wetu Washington DC


Jengo jipya la ubalozi jijini Washington Marekani ambalo JK alilifungua jana asubuhi. Jengo hili limenunuliwa na serikali ya Tanzania kwa jumla ya dola za kimarekani $10,415,000.


JK akifunua kitambaa kufungua rasmi jengo jipya la ubalozi jijini Washington Marekani jana asubuhi



JK akitoa hotuba yake wakati wa ufunguzi wa jengo jipya la ubalozi jijinji Washington Marekani jana asubuhi.
JK akisalimiana na wageni mbalimbali na mabalozi waliohudhuria sherehe za ufunguzi wa jengo jipya la ubalozi jijini Washington Marekani zilizofanyika jana asubuhi




JK akisaini kitabu cha wageni katika ofisi ya Balozi iliyopo katika jengo jipya la Ubalozi wa Tanzania jijini Washington Marekani jana asubuhi.Kushoto ni Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Bernard Membe na wapili kushoto ni Balozi wa Tanzania Washington Ombeni Sefue


Picha na Freddy Maro wa Ikulu

0 comments:

Post a Comment

  © Dullonet template by Dullonet.com 2009

Back to TOP