Dullonet Job,Career and Latest Scholarship

Saturday, September 19, 2009

Mama Maria Nyerere ndani ya UK

Mke wa Baba wa Taifa, Mama Maria Nyerere akionyesha Nishani ya Umoja wa Taifa aliyokabidhiwa na Mwenyekiti wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa kwa niaba ya Mwalimu Julius K. Nyerere, alipotembelea Ofice za Ubalozi wa Tanzania nchini Uingereza. Kutoka kulia mwa picha ni Mheshimiwa Balozi, Mama Mwanaidi Sinare Maajar na Kushoto mwa Picha ni Mkuu wa Utawala Ubalozini hapo, Dada Caroline Chipeta.

Mheshimiwa Balozi akiwa na Mama Maria Nyerere
wakiwa kwenye picha ya pamoja na Maofisa wengine wa Ubalozini hapo.




Mheshimiwa Balozi wa Tanzania- Uingereza, Mama Mwanaidi Sinare Maajar, Mama Maria Nyerere na Mheshimiwa Makamu wa Balozi, Bwana Chabaka F. Kilumanga.

0 comments:

Post a Comment

  © Dullonet template by Dullonet.com 2009

Back to TOP