Dullonet Job,Career and Latest Scholarship

Friday, September 25, 2009

Miss Tanzania ndani ya Vodashop


Warembo wanaoshiriki katika shindano la Vodacom Miss Tanzania leo mchana huu wametembelea duka la Vodashop lililopo mtaa wa Samora karibu na Idara ya Habari Maelezo na kujionea huduma mbalimbali zinazotolewa katika duka hilo, kama unavyoona mmoja wa wafanyakazi wa vodacom katika duka hilo Jannet Massanja aliyesimama katikati akitoa maelezo kwa warembo hao na kujibu maswali mbalimbali yaliyoulizwa na warmbo hao shindano la Miss Tanzania linatarajiwa kufanyika wiki ijayo oktoba 2 kwenye ukumbi wa Mlimani City jijini
Dar es salaam.

0 comments:

Post a Comment

  © Dullonet template by Dullonet.com 2009

Back to TOP