Dullonet Job,Career and Latest Scholarship

Tuesday, September 29, 2009

Ajinyakulia Nokia E-66 na tuzo, baada ya kuibuka mshindi wa mashindano ya Gofu


Mratibu wa Gofu wa kampuni ya Illovo Ltd, Pieter Van Eeeden (kulia) akimkabidhi mcheza gofu, thian Myburgh (kulia) Simu mpya aina ya Nokia E-66 na tuzo, baada ya kuibuka mshindi wa mashindano ya Gofu yaliyofanyika wiki iliopita katika uwanja wa gofu wa Illovo, Kilombero Mkoani Morogoro. Mashindanon hayo yalidhaminiwa na Kampuni ya Zain na kukutanisha wacheza golf mbalimbali wa mkoa wa Morogoro.

0 comments:

Post a Comment

  © Dullonet template by Dullonet.com 2009

Back to TOP