Dullonet Job,Career and Latest Scholarship

Monday, September 28, 2009

Rais Kikwete akutana na Ban-ki-Moon New York

Rais Jakaya Mrisho Kikwete na ujumbe wake akiwa katika mkutano na katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban-ki Moon na ujumbe wake katika ofisi yake iliyopo ndani makao makuu ya Umoja wa Mataifa(UN) jijini New York mapema jana asubuhi

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Bwana Ban-ki Moon katika makao ya Umoja wa Mataifa jijijni New York Marekani mapema jana (photo by Freddy Maro)

0 comments:

Post a Comment

  © Dullonet template by Dullonet.com 2009

Back to TOP