Dullonet Job,Career and Latest Scholarship

Wednesday, September 23, 2009

Miss Tanzania ndani ya TBL

Mtaalam wa kupika bia Bw. Carvin Nkya akiwaelezea jambo warembo wa Vodacom Miss Tanzania jinsi bia zinavyopikwa katika mitambo yao.


Warembo wa Vodacom Miss Tanzania wakiingia kiwandani hapo kwa ajili ya kutembelea ili kujifunza mambo mbalimbali juu ya uzalishaji wa vinywaji mbalimbali kiwandani hapo.



Meneja wa kinyaji cha Redds Kabula Nshimo akiongea na waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali mara baada ya warembo wanaoshiriki katika shindano la Vodacom Miss Tanzania kutembelea kiwanda cha Tanzania Breweriers Limited kilichopo Ilala jijini Dar es salaam kwa lengo la kujifunza mambo mbalimbali juu ya uzalishaji wa vinywaji vinavyotengenezwa na kiwanda hicho,

0 comments:

Post a Comment

  © Dullonet template by Dullonet.com 2009

Back to TOP