Dullonet Job,Career and Latest Scholarship

Tuesday, September 29, 2009

Maria Nyerere azungumza na waandishi


Mjane wa baba wa Taifa, Mama Maria Nyerere (Mama wa Taifa) akizungumza na waandishi nyumbani kwake Msasani Dar es Salaam jana, kuhusiana na tuzo aliyoipokea Mapema mwezi huu kutoka kwa Rais wa Baraza Kuu la Umoja wa mataifa inayotambua Mchango wa baba wa Taifa, Mwalim Julius Nyerere katika ukombozi wa bara la Afrika.

0 comments:

Post a Comment

  © Dullonet template by Dullonet.com 2009

Back to TOP