Dullonet Job,Career and Latest Scholarship

Thursday, September 17, 2009

Voda kuneemesha baiskeli Mwanza


Meneja Matukio na Promosheni wa Vodacom Tanzania Rukia Mtingwa (kulia) akitangaza zawadi za sh.M 17 kwa waandishi wa habari kuhusiana na shindano la mbia za baiskeli. litakalofanyika Oktoba mwaka huu mkoani Mwanza.( katikati ) katibu Mkuu wa chama cha baiskeli Lado Haule(kushoto)Meneja Matukio wa pepsi Carolyn Clement.

0 comments:

Post a Comment

  © Dullonet template by Dullonet.com 2009

Back to TOP