Dullonet Job,Career and Latest Scholarship

Wednesday, September 23, 2009

Makamu amuaga Marehemu Anita Ngowi

Makamu wa Rais, Dk. Ali Mohamed Shein akitia saini kitabu cha maombolezo jana, kufuatia kifo cha aliyekuwa Mkurugenzi wa Muungano katika Ofisi ya Makamu wa Rais, Anita Ngowi aliyefariki juzi nyumbani kwake Oysterbay Dar es salaam

Makamu wa Rais, Dk. Ali Mohamed Shein, akimfariji Walter Ngowi mtoto wa aliyekuwa Mkurugenzi wa Muungano katika Ofisi ya Makamu wa Rais, Anita Ngowi aliyefariki juzi nyumbani kwake Oysterbay Dar es salaam baada ya kuuguwa ugonjwa wa Saratani , mwili wa marehemu unatarajiwa kuzikwa jana alasiri katika makaburi ya Kinondoni Dar es salaam


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Ali Mohamed Shein akimfariji Clifford Ngowi mtoto wa marehemu Anita Ngowi


Makamu wa Rais Dk. Ali Mohamed Shein, akimfariji Miriam Ngowi ambaye pia ni mtoto wa marehemu



Mke wa Makamu wa Rais, Mwanamwema Shein akitia saini kitabu cha kumbukumbu kufuatia kifo cha aliyekuwa Mkurugenzi wa Muungano katika Ofisi ya Makamu wa Rais marehemu Anita Ngowi.



0 comments:

Post a Comment

  © Dullonet template by Dullonet.com 2009

Back to TOP