Dullonet Job,Career and Latest Scholarship

Friday, September 25, 2009

Vodacom foundation wazindua mradi wa yatima Mbagala

Mlezi wa kituo cha Yatima Group Trust Fund Winfreda Rubanje(kushoto)akiwaelekeza mazingira ya kituo hicho Afisa Mkuu wa mahusiano ya kibiashara wa Vodacom group Bob Collymore(katikati) Mkurugenzi wa mahusiano wa mambo ya nje wa Vodafone Matthew Kirk(kulia)Walipoenda kuzindua mradi wa mifugo wenye thamani wa Sh Milioni 12 kwa ajili ya kusaidia huduma za watoto yatima wa kituo hicho.



Mkurugenzi Mtendaji wa Vodafone barani Ulaya na Africa Morten Lundal (katikati) akimwelekeza kuandika mmoja wa watoto yatima wanaolelewa katika kituo cha Yatima Group Trust Fund Izack Lubanza(kushoto)wakati walipoenda kuzindua mradi wa mifugo wenye thamani ya Sh Milioni 12 kwa ajili ya kusaidia huduma za watoto yatima wa kituo hicho.(kulia) Mkurugenzi wa mahusiano wa mambo ya nje wa Vodafone Matthew Kirk


Mkurugenzi mahusiano wa mambo ya nje wa Vodafone Matthew Kirk akipata maelekezo kutoka kwa Meneja wa Vodacom Foundation Yessaya Mwakifulefule kuhusiana na Mradi wa Mifugo wenye thamani ya shilingi Milioni 12 kwa ajili ya kusaidia kituo cha Yatima Group Trust Fund chamanzi mbagala.



Wakurugenzi wa Vodafone na Vodacom wakienda kuzindua rasmi mradi wa mifugo wenye thamani ya Sh Milioni 12 kwa ajili ya kusaidia huduma za watoto yatima wa kituo cha Yatima Trust Fund cha chamanzi mbagala.



0 comments:

Post a Comment

  © Dullonet template by Dullonet.com 2009

Back to TOP