Dullonet Job,Career and Latest Scholarship

Friday, September 25, 2009

Temeke wapatiwa msaada na KCB


Mkuu wa Masoko na Mahusiano wa benki ya KCB Christina Manyenye (kushoto) akimuonyesha Naibu Meya wa Manispaa ya Temeke Noel Kipangule moja ya nyaraka zinazoonyesha matumizi ya kitanda hicho cha kujifungulia wakina mama chenye thamani ya shilingi Milioni 7.8 walichotoa msaada katika Hospital hiyo.(kulia)Mganga Mkuu wa Hospital ya Temeke Asha Mahita.

0 comments:

Post a Comment

  © Dullonet template by Dullonet.com 2009

Back to TOP