Dullonet Job,Career and Latest Scholarship

Friday, September 25, 2009

JAPAN YATOA BILIONI 2.4 KUSAIDIA MPANGO WA KUDHIBITI UKIMWI

Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Uchumi Ramadhani Khijjah (kushoto) akibadilishana hati na Balozi wa Japan nchini Hiroshi Nakagawa jijini leo kuhusu msaada wa fedha wenye thamani ya bilioni 2.4 za kitanzania kwaajili kununulia madawa na vitendea kazi muhimu katika mpango wa taifa wa kudhibiti ukimwi.( 2.4 billion for procerement of equipment, medicines and services necessary for implementing the HIV/AIDS Control programme mara baada ya kusaini hati hizo hafla ya kusaini hati hizo imefanyika katika Wizara ya Fedha na Uchumi.(Picha na Mwanakombo Jumaa wa Maelezo).

0 comments:

Post a Comment

  © Dullonet template by Dullonet.com 2009

Back to TOP