Dullonet Job,Career and Latest Scholarship

Tuesday, February 23, 2010

Dk Shein atembelea U-Dom

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein katikati akiwa katika picha ya pamoja na Viongozi na Wafanyakazi wa Chuo Kikuu cha Dodoma UDOM, wakati alipotembelea Chuo hapo leo



Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akiagana na Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dodoma Profesa Idris Kikula baada ya kukamilisha ziara yake ya kukitembelea Chuo kikuu cha Dodoma UDOM leo kuangalia maendeleo ya ujenzi wa majengo ya Chuo hicho

0 comments:

Post a Comment

  © Dullonet template by Dullonet.com 2009

Back to TOP