Dullonet Job,Career and Latest Scholarship

Thursday, February 25, 2010

Wastaafu wa iliyokuwa EAC walonga juu ya mafao yao.


Katibu wa Kamati ya Madai ya wastaafu wa iliyokuwa Jumuiya ya Afrika Mashariki , Kitengo cha Bandari Said Mikohi (katikati) akitoa ufafanuzi kwa waandishi wa habari juu ya uongozi wa Bandari kukwamisha kulipwa kwa mafao yao mpaka sasa kama walivyofanyiwa wenzao. Wengine ni Katibu Msaidizi wa Kamati hiyo Kassim Omary (kushoto) na kulia ni mmoja wa wajumbe Emmanuel Mpoto .Picha na Tiganya Vincent-MAELEZO

0 comments:

Post a Comment

  © Dullonet template by Dullonet.com 2009

Back to TOP