Dullonet Job,Career and Latest Scholarship

Tuesday, February 23, 2010

Pinda ndani ya Ziara yake Tabora


Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Mkewe Tunu (Kulia) wakizungumza na watoto baada ya kuhutubia mkutano wa hadhara katika Uwanja wa Sokoine, Igunga wakiwa katika ziara ya mkoa wa Tabora , Februari 21, 2010.



Wasanii wa kikundi cha ngoma cha Buzoli wakitumbuiza wakati Waziri Mkuu, Mizengo Pinda alipofungua josho la ng’ombe katika kijiji cha Bulayang’ombe wialyani Igunga akiwa katika ziara ya mkoa wa Tabora

0 comments:

Post a Comment

  © Dullonet template by Dullonet.com 2009

Back to TOP