Dullonet Job,Career and Latest Scholarship

Tuesday, February 16, 2010

Kalunde Band yasherehekea miaka minne ya kuzaliwa kwake siku ya wapendanao

Bosi wa Kalunde Band akiongea usiku wa kuamkia jana katike sherehe za kutimiza miaka minne ya kundi hilo linalokuja juu kwa kasi kwenye ukumbi wa Rainbow Mbezi beach jijini Dar. Kalunde band ilizaliwa siku ya wapendanao miaka minne ilopita kwa kufanya shoo yake ya kwanza Giraffe hotel jijini

Fabak Fashion walikuwepo kuonesha mavazi


Deo Mwanambilimbi (kati) akiongoza kikosi kizima cha Kalunde Band kusherehekea kwa mpigo siku ya wapendanao pamoja na hepi besdei ya nne ya kuzaliwa bendi hio ukumbi wa Rainbow Club Mbezi Beach jijini Dar

0 comments:

Post a Comment

  © Dullonet template by Dullonet.com 2009

Back to TOP