Dullonet Job,Career and Latest Scholarship

Thursday, February 18, 2010

Waziri Kawambwa ndani JNIA

Mkurugenzi Mkuu Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania Mhandisi Prosper Tesha(kulia) akitoa ufafanuzi jana jijini Dar es salaam kwenye chumba cha kuongozea Ndege kwa Waziri wa Miundombinu Dkt Shukuru Kawambwa (kushoto) jinsi ya uongozaji wa Ndege za ndani na njea ya Nchi zinatua katika Uwanja wa Kimatifa wa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Waziri Kawambwa alitembea uwanja huo jana kuangalia shughuli mbali za maboresho ya uwanja huo zinazoendelea.

Mkurugenzi Mkuu Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania Mhandisi Prosper Tesha(wa pili kushoto) akitoa ufafanuzi jana jijini Dar es salaam kwa Waziri wa Miundombinu Dkt Shukuru Kawambwa (kushoto) kazi ya uboreshaji wa Uwanja wa Kimatifa wa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere zinazoendelea. Waziri Kawambwa alitembea uwanja huo kuangalia shughuli mbali za maboresho ya uwanja huo zinazoendelea
(Picha na Tiganya Vincent, MAELEZO)

0 comments:

Post a Comment

  © Dullonet template by Dullonet.com 2009

Back to TOP