Dullonet Job,Career and Latest Scholarship

Monday, February 22, 2010

Karibuni wageni.


Mmoja wa wakazi wa Mbagala, Dar es Salaam, walioathiriwa na milipuko ya mabomu Aprili mwaka jana, Johari Ali (kushoto) akizungumza na wageni wake nje ya hema anapoishi. Mwananchi huyo anadai kuwa hajalipwa fidia, na imefahamika kwamba waathirika waliopewa mahema walitakiwa kuyarudisha kwenye mamlaka husika ili yakatumike katika maeneo mengine yaliyokumbwa na maafa. (Picha na Mroki Mroki).

0 comments:

Post a Comment

  © Dullonet template by Dullonet.com 2009

Back to TOP