Dullonet Job,Career and Latest Scholarship

Wednesday, February 17, 2010

UBALOZI WA UFARANSA WAWAPIGA JEKI WAHANGA WA MAFURIKO KILOSA


Baadhi ya wafanyakazi wa chama cha msalaba mwekundu wakiwasubiri wageni katika ofisi zao zilizoko Masaki jijini Dar es salaam.



Balozi wa Ufaransa Nchini Bw. Jacques Champagne de Labriolle (kushoto) akimkabidhi vifaa mbalimbali katibu mkuu wa chama cha msalaba mwekundu na Meya wa jiji la Dar es salaam Adam Kimbisa, vifaa hivyo vimenunuliwa na ubalozi huo kwa ajili ya kuwasaidia wahanga wa mafuriko yaliyotokea katika Wilaya ya Kilosa mkoani Morogoro, na ni mahema, Vyandarua, vyombo vya kupikia kwa ajili ya familia ambazo hazina nyumba madawa ya kusafishia maji ya kunywa na usambazaji wa maji safi vifaa hivyo vina thamani ya shilingi milioni 94 za kitanzania, hafla hiyo imefanyika katika ofisi za msalaba mwekundu zilizopo Msaki jijini Dar es salaam.

0 comments:

Post a Comment

  © Dullonet template by Dullonet.com 2009

Back to TOP