Dullonet Job,Career and Latest Scholarship

Tuesday, February 16, 2010

Mzee Mkapa afunika Iringa

"Japo nilikataza wanafunzi kuja kunipokea ila basi ngoja nicheze nao wananipenda sana"Rais mstaafu wa awamu ya tatu Mh.Benjamin Mkapa akicheza na wanafunzi wa shule ya msingi Ilula ambao walishindwa kuvumilia madarasani na kutoka kumpokea kiongozi huyo kipenzi cha watanzania



Maofisa wa taasisi ya Mkapa wakimsikiliza kwa makini Mkapa wakati akieleza sababu ya kutojitokeza mara kwa mara katika vyombo vya habari kwa madai ya kutingwa na majukumu ya kimataifa na kitaifa juu ya UKIMWI.


Rais (mstaafu) wa awamu ya tatu Mh.Benjamin Mkapa akisalimiana na wagonjwa katika hospitali teule ya wilaya ya Kilolo (Ilula ) leo asubuhi ,Mkapa yupo mkoani Iringa na wilaya ya Kilolo yatoa taarifa tata kuhusu hali ya migogoro ya ardhi katika wilaya hiyo



Watumishi wa hospitali ya wilaya ya Kilolo wakiwa katika picha ya pamoja na Mkapa leo. Picha zote na Francis Godwin wa Iringa




0 comments:

Post a Comment

  © Dullonet template by Dullonet.com 2009

Back to TOP