Dullonet Job,Career and Latest Scholarship

Thursday, February 25, 2010

MWANAFUNZI BORA TANZANIA 2009 APOKEA ZAWADI ZAKE

Baba Mzazi wa Imaculata Prof. Restori Mosha akizungumza na waandishi wa habari kuelezea kipaji cha mtoto wake Imaculata Mosha wakati alipopokea zawadi yake kutokana na kufanya vyema katika mtihani wa kidato cha nne mwak 2009, kulia ni Immaculata Mosha


Mshindi wa jumla kwa masomo yote nchini na kuwa mshindi wa kwanza pia katika masomo ya sayansi kwa kupata "A" katika masomo yote ya mtihani wa kidato cha nne mwaka 2009 Immaculata Mosha, akipokea zawadi yake ya Kompyuta aliyopewa na Chuo cha Clever Tourisim & Hotel Management Hotel kutoka kwa Afisa Elimu Mkuu Wizara ya Elimu Bi. Doroth Mwaluko katika hafla iliyofanyika kwenye ukumbi wa idara ya Habari Maelezo jijini Dar es salaam leo , Imaculata pia alikabidhiwa shiligi 100.000 kutoka kwa chuo hicho.

0 comments:

Post a Comment

  © Dullonet template by Dullonet.com 2009

Back to TOP