Dullonet Job,Career and Latest Scholarship

Tuesday, February 16, 2010

MACHOZI BAND YAWAPAGAWISHA WAPENDANAO ARABELA

Lady Jay Dee na Gadner wa pili kutoka kulia wakijichanganya na mashabiki wao yote hii ni katika kuonyesha upendo kwa mashabiki na wapenzi wa muziki wao.


Hapa ilikuwa ni kushangweka kwa kwenda mbele kama unavyowaona wapenzi wa bendi ya machozi wakiserebuka vya kutosha stejini kwenye klabu ya Arabela usiku wa Valentine
Mwanamuziki wa bendi ya Machozi Mwinyi Machozi kulia akiongoza wenzake wakati bendi hiyo ilipofanya onyesho la kukata na shoka kwenye ukumbi wa Arabela



Lady Jay Dee aka Binti Komadoo akifanya vitu vyake jukwaani wakati bendi yake ya machozi ilipofanya onyesho la wapendanao kwenye klabu ya Arabela usiku wa Valentine, kushoto ni mwimbaji mahiri wa bendi hiyo Jonico Flower, usiku huo ulikuwa bomba na watu walionekana kuwa na furaha huku wakinywa, wakicheza muziki na kufurahia maisha na wenza wao ama ndugu zao wawapendao


0 comments:

Post a Comment

  © Dullonet template by Dullonet.com 2009

Back to TOP