Dullonet Job,Career and Latest Scholarship

Friday, February 26, 2010

Rais Kikwete aliporejea Dar

JK akisalimia na Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mh. William Lukuvi mara baada ya kuwasili jioni hii katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere akitokea nje ya nchi kwenye ziara ya kikazi nchini Uturuki na Jordan. Kabla ya kutua Dar asubuhi alipitia Mwanza kufungua mkutano mkuu wa TAKUKURU



Rais Kikwete akimsikiliza Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam juzi katika Uwanja wa Ndege wa Kimatifa wa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere mara baada ya kuwasili kutoka nje ya nchi ambapo alikuwa katika ziara ya kikazi Mashariki ya Kati. Mwingine katika Picha ni Kingunge Ngombale Mwiru.

0 comments:

Post a Comment

  © Dullonet template by Dullonet.com 2009

Back to TOP