Dullonet Job,Career and Latest Scholarship

Tuesday, February 16, 2010

JUMLA YA MILIONI 22 ZATENGWA KWA ZAWADI KILIMANJARO MARATHON

Katibu Mkuu wa Chama cha Riadha Tanzania (RT) Suleiman Nyambui (shati la mistari) akifafanua masuala mbalimbali kwa wandishi wa habari jijini leo kuhusu mbio za nyika za 2010 ambazo zitafanyika mwisho wa mwezi wa Februari 2010 mkoani Kilimanjaro. mwigine ni Meneja ya Bia ya Kilimanjaro George Kavishe.

Katibu Mkuu wa Chama cha Riadha Tanzania(RT) Suleiman Nyambui (kushoto) akifafanua jambo kwa waandishi wa habari jijini leo kuhusu wakimbiaji wa mbio za nyika za Kilimanjaro 2010 ambazo zitafanyika mwisho wa mwezi huu Mkoani Kilimanjaro(kulia) ni Meneja wa Bia ya Kilimanjaro George Kavishe.Mbio hizo za nyika zimedhaminiwa na Bia ya Kilimanjaro, Vodacom Tanazania pamoja na makampuni mengine nchini ikiwemo kampuni ya KK Security,Tanga Cement. Good Year, Kilimanjaro Water,Tanzanite One, DT Dobie Tanzania, TPC, New Africa Hotel na Keys Hotel, jumla ya shilingi milioni 22 zitashindaniwa na wanariadha mabimbali wanaotarajiwa kushiriki katika mbio hizo . Picha na Mwanakombo Jumaa.-Maelezo

0 comments:

Post a Comment

  © Dullonet template by Dullonet.com 2009

Back to TOP