Dullonet Job,Career and Latest Scholarship

Monday, February 22, 2010

Pinda uso kwa uso na Rostam


Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, akipata maelezo kuhusu bwawa la maji la Mwamapuli wilayani Igunga, Tabora kutoka kwa Mbunge wa Jimbo hilo, Rostam Aziz (wa tatu kulia) wakati alipokagua bwawa hilo linalotumika katika kilimo cha umwagiliaji. Wa pili kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Abeid Mwinyimussa. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

0 comments:

Post a Comment

  © Dullonet template by Dullonet.com 2009

Back to TOP