Dullonet Job,Career and Latest Scholarship

Wednesday, February 17, 2010

KCB yasaidia vifaa Buguruni leo

Mwenyekiti wa Bodi ya benki ya KBC na mbunge wa kuteuliwa Janet Mbene(kushoto)akimkabidhi Mganga Mkuu wa kituo cha Afya Buguruni Mwajuma Mbaga(kulia) vifaa vya kupimia magonjwa mbalimbali Utra sound printer,dottla machine na oxygen concentrator vifaa hivyo vina thamani ya Sh Milioni 4.3.wa pili kushoto Kaimu Mkurugenzi mtendaji wa benki hiyo Joram Kiarie,Mwenyekiti wa Mtaa wa Mnyamani Jabir Abbas,Diwani wa kata ya Buguruni Magina Lufunondo.

Baadhi ya wafanyakazi wa Benki ya KCB wakiwa katika picha ya pamoja na wafanyakazi wa kituo cha Afya cha Buguruni mara baada ya benki hiyo kufika hapo kutoa msaada vya kupimia magonjwa mbalimbali Utra sound printer,dottla machine na oxygen concentrator vifaa hivyo vina thamani ya Sh Milioni 4.3

Mwenyekiti wa Bodi ya benki ya KBC na mbunge wa kuteuliwa Janet Mbene akiongea wakati wa hafla ya kukabidhi msaada wa vifaa vya kupimia magonjwa mbalimbali Utra sound printer,dottla machine na oxygen concentrator vifaa hivyo vina thamani ya Sh Milioni 4.3,katika kituo cha Afya cha Buguruni jijini Dare s Salaam.Kutoka kushoto Mkuu wa Masoko wa benki hiyo Christina Manyenye,Kaimu Mkurugenzi Mtendaji Joram Kiarie na kulia Diwani wa kata ya Buguruni Magina Lufunondo.

Mwenyekiti wa Bodi ya benki ya KBC na mbunge wa kuteuliwa Janet Mbene(kushoto)akimkabidhi Diwani wa kata ya Buguruni Magina Lufunondo (kulia) vifaa vya kupimia magonjwa mbalimbali Utra sound printer,dottla machine na oxygen concentrator vifaa hivyo vina thamani ya Sh Milioni 4.3.Wakati benki hiyo ilipoenda kutoa msaada huo katika kituo cha Afya cha Buguruni jijini Dare s Salaam.

0 comments:

Post a Comment

  © Dullonet template by Dullonet.com 2009

Back to TOP