Dullonet Job,Career and Latest Scholarship

Tuesday, February 16, 2010

Ufunguzi wa kikao cha halmshauri kuu ya Taifa kinachoendelea mjini Dodoma

Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete(wapili kushoto) na viongozi waandamizi wa CCM kutoka kushoto Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Amani Abeid Karume, Katibu Mkuu wa CCM Yusuf Makamba na Makamu wa CCM Bara Pius Msekwa wakati wa ufunguzi wa kikao cha halmshauri kuu ya Taifa kinachoendelea mjinji Dodoma


Wajumbe wa Halmashauri kuu ya Taifa ya CCM Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samuel Sitta akijadiliana jambo na mjumbe mwezake Abdulrahman Kinana mjini Dodoma JANA asubuhi wakati wa kikao cha halshauri hiyo kinachoendelea
Wajumbe wa Halmashauri kuu ya Taifa ya CCM Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samuel Sitta akijadiliana jambo na mjumbe mwezake Abdulrahman Kinana mjini Dodoma jana asubuhi wakati wa kikao cha halshauri hiyo kinachoendelea.Picha kwa hisani ya Freddy Maro


0 comments:

Post a Comment

  © Dullonet template by Dullonet.com 2009

Back to TOP