Dullonet Job,Career and Latest Scholarship

Wednesday, February 17, 2010

Mkullo atembelea Moscow


Waziri wa Fedha Mh. Mustafa Mkullo (katikati waliokaa) akiwa na baadhi ya Watanzania waishio na wanaosoma vyuo vikuu mbalimbali Russia waliofurika kumlaki katika hafla ya chakula cha jioni iliyoandaliwa na Balozi wa Tanzania Moscow Capt. mstaafu Balozi Jaka Mwambi.. Kushoto ni Balozi wa Tanzania nchini Urusi na kushoto ni Mke wa Balozi wa Tanzania Urusi


Waziri wa Fedha Mh. Mustafa Mkullo akijibu swali kutoka kwa Watanzia waliofurika kumlaki katika hafla ya chakula cha jioni iliyoandaliwa na Balozi wa Tanzania Moscow Capt. mstaafu Balozi Jaka Mwambi. Kuumeni ni mke wa Mh. Mwambi

0 comments:

Post a Comment

  © Dullonet template by Dullonet.com 2009

Back to TOP