Dullonet Job,Career and Latest Scholarship

Tuesday, September 1, 2009

Mashindano ya Vodacom mashua laser open


Mkuu wa udhamini na Mawasiliano wa kampuni ya simu za mkononi ya Vodacom Tanzania George Rwehumbiza(kushoto)akimkabidhi Don White kombe baada ya kuibuka mshindi wa pili katika mashindano ya mashua ya Vodacom Laser open,yaliyofanyika katika fukwe za bahari ya Hindi jijini Dares Salaam.(katikati)Meneja huduma na bidhaa wa Vodacom Tanzania Elihuruma Ngowi.


Meneja huduma na bidhaa wa kampuni ya simu za mkononi ya Vodacom Tanzania Elihuruma Ngowi akimkabidhi Peter Van kikombe cha ushindi wa tatu katika mashindano ya mashua ya Vodacom Laser open,yaliyofanyika katika fukwe za bahari ya Hindi jijini Dares Salaam.


Mkuu wa udhamini na Mawasiliano wa kampuni ya simu za mkononi ya Vodacom Tanzania George Rwehumbiza(kushoto)akimkabidhi Cameron Mckee kombe baada ya kuibuka mshindi wa kwanza katika mashindano ya mashua ya Vodacom Laser open,yaliyofanyika katika fukwe za bahari ya Hindi jijini Dar wikiendi hii.


Meneja mtendaji wa Teknologia mpya wa kampuni ya simu za mkononi ya Vodacom Tanzania Dylan Lennox (kushoto) akimkabidhi mshindi wa kwanza kwa watoto Peter Van kikombe baada ya kuibuka mshindi wa kwanza kwa watoto katika mashindano ya mashua ya Vodacom Laser open,yaliyofanyika katika fukwe za bahari ya Hindi jijini Dar.


0 comments:

Post a Comment

  © Dullonet template by Dullonet.com 2009

Back to TOP