Dullonet Job,Career and Latest Scholarship

Wednesday, March 17, 2010

Familia ya karimjee yatoa msaada kwa wananchi Kilosa

Waziri wa Fedha na Uchumi Mustafa Mkulo (kulia) akipokea msaada jana mjini Dar es salaam wa magodoro 2000 na blanketi 2000 kwa ajili ya kuwasaidia wananchi wa Kilosa waliokubwa na mafuriko ambayo yaliwasababishai kupoteza mali zao zote. Msaada huo wenye thamani ya shilingi milioni 75 umetolewa na Mwenyekiti wa Karimjee Jivanjee Family Bw. Hatim Karimjee (kushoto) kwa niaba ya wenzake.Picha na Tiganya Vincent-MAELEZO

0 comments:

Post a Comment

  © Dullonet template by Dullonet.com 2009

Back to TOP