Dullonet Job,Career and Latest Scholarship

Wednesday, March 17, 2010

Umoja wa madereva wapania kupunguza Ajali

Katibu Mkuu wa Umoja wa Madreva wa Mabasi ya Abiria Tanzania (UWATA) Salum Abdallah (kulia) akitoa tamko jana jijini Dar es salaam la kuwadhibiti madreva wote wenye tabia za kuendesha mabasi kwa mwendo kasi na hivyo kusababisha ajali. Kushoto ni mjumbe wa Kamati Kuu ya UWAMATA Yusuph Mgumba. Picha na Tiganya Vincent-MAELEZO

0 comments:

Post a Comment

  © Dullonet template by Dullonet.com 2009

Back to TOP