Dullonet Job,Career and Latest Scholarship

Wednesday, March 31, 2010

TANZANIA KUPATA BILIONI 322 KUTOKA BANKI YA AFRIKA (ADB)

Katibu wa Wizara ya Fedha na Uchumi Ramadhan Khijjah (kulia) akifafanua jambo kwa waandishi wa habari jana mjini Dares salaam wakati wa kutiliana saini ya makubaliano ya kifedha kutoka Benki ya Maendeleo ya Afrika (ADB) ya kiasi cha bilioni 322.5 kwa ajili ya kuimarisha barabara na reli nchini. Kushoto ni Mwakilishi Mkazi wa ADB nchini Dkt Sipho Moyo.


Katibu wa Wizara ya Fedha na Uchumi Ramadhan Khijjah (kulia) akibadilishana hati jana jijini Dar es salaam ya makubaliano ya msaada wa kifedha kutoka Benki ya Maendeleo ya Afrika (ADB) ya kiasi cha bilioni 322.5 kwa ajili ya kuimarisha barabara na reli nchini. Kushoto ni Mwakilishi Mkazi wa ADB nchini Dkt Sipho Moyo.

0 comments:

Post a Comment

  © Dullonet template by Dullonet.com 2009

Back to TOP