Dullonet Job,Career and Latest Scholarship

Friday, March 26, 2010

Usiku wa Precision Air wang'ara

Mkurugenzi Mtendaji wa Precision Air, Bw. Alfonse Kioko akitoa risala yake mbale ya wafanyakazi na wageni waalikwa.


Mwakilishi wa kampuni ya Highlight Travel- BCD Travel ya nchini Kenya, akipokea cheti kutoka kwa Bw. Shafi Kaka ambaye ni Rubani Mkandawire wa Precision Air. Pembeni ni mwakilishi wa kampuni ya Carlson Wagonlit Travel ya nchini Kenya, Bi. Julie Scott pamoja na Station Meneja wa Precision Air Kenya na Uganda Bi. Sarah Wachira.


Meneja Mkuu wa Precision Air Ground Handling Company Bw. Elias Moshi akimpa tuzo mwakilishi was Winglink Travel Ltd ambao walikuwa washindi wa tatu-Dar.
Picha zaidi tembelea http://michuzijr.blogspot.com/

0 comments:

Post a Comment

  © Dullonet template by Dullonet.com 2009

Back to TOP