Dullonet Job,Career and Latest Scholarship

Wednesday, March 31, 2010

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu Za Serikali akabidhi Ripoti za ukaguzi wa Matumizi ya Fedha za Serikali na Taasisi zake Kwa Rais Kikwete Ikulu


Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Bwana Ludovick Utouh akimkabidhi Rais Jakaya Mrisho Kikwete Ripoti za ukaguzi wa matumizi ya Fedha za Serikali na Taasisi zake ikulu jijini Dar es Salaam leo mchana.Kushoto ni Msaidizi wa mkaguzi mkuu Bwana Atanas Tarimo(Picha na Freddy Maro)

0 comments:

Post a Comment

  © Dullonet template by Dullonet.com 2009

Back to TOP